TETEMEKO LAUA 150 CHINA


TAKRIBANI watu 150 wamepoteza maisha huku 1,400 wakijeruhiwa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kutokea katika Jimbo la Yunnan lililopo kusini-magharibi mwa China leo. Tetemeko hilo lililokuwa na ukubwa wa richa 6.5 limesababisha kubomoka kwa majengo yakiwemo mashule.

Waokoaji wakiwa wamembeba mtoto aliyejeruhiwa baada ya tetemeko hilo.…

TAKRIBANI watu 150 wamepoteza maisha huku 1,400 wakijeruhiwa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kutokea katika Jimbo la Yunnan lililopo kusini-magharibi mwa China leo. Tetemeko hilo lililokuwa na ukubwa wa richa 6.5 limesababisha kubomoka kwa majengo yakiwemo mashule.

Waokoaji wakiwa wamembeba mtoto aliyejeruhiwa baada ya tetemeko hilo.
Jengo likiwa limeharibiwa na tetemeko hilo lililotokea leo.
Mtoto aliyepoteza maisha katika tetemeko hilo.
Uharibifu uliosababishwa na tetemeko hilo.

Comments

Popular posts from this blog

SIMULIZI FUPI YA KUSISIMUA TAMAA IMENIPONZA KWELI KWELI.......!!

MASKINI YANGA SC: WAPIGWA CHINI KOMBE LA KAGAME..KISA?! DHARAU..SOMA ZAIDI HAPA!

HUSNA MAULED LIVE KATIKA SITA KWA SITA