SHILOLE NA SERENGETI BOY WAKE WAMWAGANA, NUHY AKIFUNGUKA, YALIYOJIRI JE TATOOOOOOOOO ITAFUTIKA????????????????



\
\

Stori ya Nuh Mziwanda kujichora tatoo yenye jina la Shilole ilisambaa sana na wengi walikua wakijiuliza siku ikitokea wameachana itakuaje hasa upande wa Nuh ambaye ndiye aliyejichora tatoo hiyo.
Maelezo ya Nuh Mziwanda yamedai kuwa sababu zilizosababisha waachane ni msg ambayo aliikuta kwenye simu ya Shilole ambayo inasemekana ilitumwa na mwanaume,Nuh alipomwambia Shilole apige alionekana kunikanyanga. 

Nuh Mziwanda kaongea na Soudy Brown kwenye You heard na kazungumza mambo mengi ambayo yametokea kwenye uhusiano wao. 

Comments

Popular posts from this blog

SIMULIZI FUPI YA KUSISIMUA TAMAA IMENIPONZA KWELI KWELI.......!!

MASKINI YANGA SC: WAPIGWA CHINI KOMBE LA KAGAME..KISA?! DHARAU..SOMA ZAIDI HAPA!

'BIOGRAPHY' WASIFU WA MAISHA YA MSANII WA BONGO FLAVA ALI KIBA