MECHI YA WABUNGE: YANGA 3, SIMBA 2


Mechi ya wabunge mashabiki wa Simba na Yanga inaendelea katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014. Mpaka sasa Yanga wanaongoza kwa mabao 3-2. Wafungaji Simba: Maji Marefu (11) na Yusuf Gogo (3). Yanga: Idrissa Kitwana (7), Ahmed Ngwali (11), Mark Tanda (2).
Mfungaji wa bao la kwanza la Yanga…
Mechi ya wabunge mashabiki wa Simba na Yanga inaendelea katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014. Mpaka sasa Yanga wanaongoza kwa mabao 3-2. Wafungaji Simba: Maji Marefu (11) na Yusuf Gogo (3). Yanga: Idrissa Kitwana (7), Ahmed Ngwali (11), Mark Tanda (2).
Mfungaji wa bao la kwanza la Yanga akishangilia. 
Yanga wakishangilia bao lao.
Mtanange ukiendelea.

Comments

Popular posts from this blog

SIMULIZI FUPI YA KUSISIMUA TAMAA IMENIPONZA KWELI KWELI.......!!

MASKINI YANGA SC: WAPIGWA CHINI KOMBE LA KAGAME..KISA?! DHARAU..SOMA ZAIDI HAPA!

'BIOGRAPHY' WASIFU WA MAISHA YA MSANII WA BONGO FLAVA ALI KIBA